
Wanandoa waliofariki dunia
Wanandoa hao wote walikuwa ni watumishi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha, na walifariki dunia wakiwa njiani kuelekea jijini Mbeya kwenye msiba na juhudi za kumtafuta Kamanda wa Polisi mkoa wa Iringa zinaendelea.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Iringa Allan Bukumbi, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema ilisababisha vifo vya watu watatu na majeruhi wawili ambao wanapatiwa matibabu katika hospitali mkoani humo.