Polisi Kilimanjaro waimarisha ulinzi sikukuu

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro Simon Maigwa amesema kuelekea sikukuu za Krismasi na mwaka mpya watoto katika mkoa huo wataruhusiwa kwenda kwenye maeneo ya wazi kusherehekea mchana huku akisisitiza kuwa saa 12 jioni wahakikishe wamerejea majumbani

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS