Binti apigwa na radi akichunga mbuzi Calista Haule (15) mkazi wa kijiji cha Lifua kata ya Luilo wilayani Ludewa mkoani Njombe amefariki baada ya kupigwa na radi wakati akiwafunga mbuzi chini ya mti baada ya kuwatoa malishoni Read more about Binti apigwa na radi akichunga mbuzi