Mama amnyonga mtoto wake wa kumzaa

Jeshi la polisi Mkoani Mtwara linamshiklia mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Sinde  Kata ya  Msangamkuu, halmashauri ya Mtwara,  kwa tuhuma za kumnyonga mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili na nusu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS