CHADEMA waunda Bunge lao
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa CHADEMA John Mrema amesema Bunge la Wananchi limeundwa na wanachama wa chama hicho waliogombea ubunge mwaka 2020 na litakuwa linaendeshwa kwa njia ya mtandao na litashughulika na bajeti za serikali na mambo mengine ambayo Bunge la Jamhuri ya Muungano linafanya.