Kamanda wa kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Simon Pasua, akikagua nyama mkoani Arusha
Jeshi la Polisi nchini kupitia Kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo limewataka wafanyabiashara wanaouza nyama kuhakikisha wanauza nyama ambazo zimegongwa mihuri toka mamlaka zinazohusika.