Polisi wasisitiza nyama zilizopigwa mihuri

Kamanda wa kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Simon Pasua, akikagua nyama mkoani Arusha

Jeshi la Polisi nchini kupitia Kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo limewataka wafanyabiashara wanaouza nyama kuhakikisha wanauza nyama ambazo zimegongwa mihuri toka mamlaka zinazohusika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS