Mawaziri wafa ajalini Ukraine

Helikopta hiyo inasemekana kugonga jengo la shule ya watoto kabla ya kuanguka.

Watu 18 wamepoteza maisha, akiwemo waziri wa mambo ya ndani wa Ukraine, baada ya helikopta kuanguka kando ya shule ya chekechea katika kitongoji cha mashariki mwa mji mkuu Kyiv.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS