Ronaldo kusaini mkataba wa trioni moja

Mshambuliaji Cristiano Ronaldo

Taarifa kutoka nchini Hispania zinaripoti kuwa mchezaji bora wa dunia mara tano (5) Cristiano Ronaldo anatarajia kusaini mkataba wa miaka 2 na nusu  na klabu ya  Al Nassr ya Saudia Arabia mwishoni mwa mwaka huu, mkataba utakaomalizika Juni 2025.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS