Mke adaiwa kutafuta wauaji waliomuua mumewe

Kushoto ni mtuhumiwa wa kwanza wa mauaji na kulia ni Hoka Mazuri mke wa marehemu

Washtakiwa watano akiwemo mke wa marehemu ambaye inadaiwa alipanga njama za kumuua mume wake aitwaye Mange Washa na aliwalipa wauaji wawili kiasi cha shilingi laki nane, wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza na kusomewa shtaka moja la mauaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS