Royal Tour yampa tuzo Rais Samia

Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa ameshika tuzo alizopewa Rais Dkt.Samia

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepewa tuzo ya kimataifa ijulikanayo kama International Iconic Awards ya nchini India kwa kutambua mchango wake katika kuasisi na kushiriki kwa umahiri mkubwa katika programu ya Tanzania The Royal Tour ambayo imekua na matokeo chanya kwa jamii inayomzunguka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS