Royal Tour yampa tuzo Rais Samia
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepewa tuzo ya kimataifa ijulikanayo kama International Iconic Awards ya nchini India kwa kutambua mchango wake katika kuasisi na kushiriki kwa umahiri mkubwa katika programu ya Tanzania The Royal Tour ambayo imekua na matokeo chanya kwa jamii inayomzunguka.