Hali ya biashara sokoni Kariakoo kuelekea x-mas

Mamlaka ya mapato nchini TRA kupitia tawi la kariakoo imetoa onyo kwa wafanyabiashara waliojipanga kufanya udanganyifu wa biashara hasa katika utoaji wa risiti za kielektroniki (EFD) hasa kuelekea katika kipindi hiki cha sikuu za mwisho wa mwaka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS