Iran yanyonga mwingine kwa mara ya pili

Iran imesema imetekeleza mauaji ya pili yanayohusishwa na maandamano ya kuipinga serikali yanayoikumba nchi hiyo. Majidreza Rahnavard alinyongwa "hadharani" mapema Alhamisi katika mji wa Mashhad, mahakama ilitangaza

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS