Wakulima Lindi wasema hawajanufaika na Korosho

Korosho

Wananchi katika Kijiji cha Mbesa, wilayani Ruangwa mkoani Lindi, wamekiri kutofaidika na zao la Korosho kwa mwaka huu huku wakihofia suala la maandaalizi kwa watoto kwa ajili ya kuanza masomo kusua kwa sababu ya kupata fedha ndogo wakati huu wa mnada.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS