''Kapambaneni kwa ajili ya taifa'' Msitha
Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Neema Msitha ametoa wito kwa waogeleaji kwenda kupambana kufa na kupona Ili kufanye vizuri katika mashindano ya Dunia ambayo yanatarajia kuanza Disemba 13 hadi 19 mwaka huu nchini Australia.