''Kapambaneni kwa ajili ya taifa'' Msitha

Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Neema Msitha ametoa wito kwa waogeleaji kwenda kupambana kufa na kupona Ili kufanye vizuri katika mashindano ya Dunia ambayo yanatarajia kuanza Disemba 13 hadi 19 mwaka huu nchini Australia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS