Wananchi waungana kujenga madarasa mawili
Wananchi wa mtaa wa Lwenge kata ya Kalangalala mkoani Geita wameanzisha ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na ofisi moja kwenye shule ya msingi Mseto ili kupunguza changamoto ya wanafunzi zaidi ya 1000 ambao wanatumia vyumba 12 huku shule hiyo ikiwa na uhitaji wa vyumba 24