Ukraine yaisaida Ethiopia chakula Tani 25,000
Shehena ya kwanza ya nafaka, ikiwa sehemu ya jitihada ya binafsi ya Ukraine kwa kusambaza kwa mataifa yenye uhataji imewasili nchini nchini Djibouti ikiwa tayari kwa ajili ya kwenda katika taifa jirani la Ethiopia ambalo limekumbwa na ukame mkubwa.