Waziri Gwajima akemea vitendo vya ushoga 

Waziri wa Maendeleo ya Jamii  Dkt. Dorothy Gwajima

Waziri wa Maendeleo ya Jamii  Dkt. Dorothy Gwajima, amezitaka halmashauri zote nchini kufuatilia mienendo ya watoto huku akipiga marufuku uwepo wa madarasa yanayofundisha watoto masuala ambayo ni kinyume na maadili ukiwemo ushoga na kuhakikisha watoto wote wanalindwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS