Waziri Gwajima akemea vitendo vya ushoga
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Dkt. Dorothy Gwajima, amezitaka halmashauri zote nchini kufuatilia mienendo ya watoto huku akipiga marufuku uwepo wa madarasa yanayofundisha watoto masuala ambayo ni kinyume na maadili ukiwemo ushoga na kuhakikisha watoto wote wanalindwa.