Hati fungani za miaka 20 zang'ara DSE

Mwenendo wa soko la hisa la Dar es salaam kwa wiki iliyoishia desemba 2 umeonesha kupungua kwa thamani ya hati fungani zilizoorodheshwa sokoni kwa shilingi 5 bilioni kutoka 16.80 trilioni kwa wiki iliyoishia novemba 25,2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS