Wananchi kimala kuchangia huduma ya maji
Mkurugenzi wa usambazaji maji safi na usafi wa mazingira kutoka Wizara ya Maji CPA. Joyce Msiru amewaasa wananchi wa Kimala Wilayani Kilolo Iringa kutunza miundombinu ya miradi ya maji na kuepuka uharibifu wa mazingira na kuhakikisha wanatunza vyanzo vya maji ili miradi inayojengwa iweze k