Roboti anayezungumza Kiswahili kuzinduliwa leo
Kundi la makampuni ya Uniccon limesema kuwa leo Desemba 2, 2022, nchini Nigeria litazindua roboti ya kwanza barani Afrika yenye sura ya binadamu inayoitwa Omeife, na kwamba miongoni mwa lugha zitakazotumiwa na roboti huyo ipo lugha ya Kiswahili.