RC ashauri vikao vipunguzwe, wapambane na VVU
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Adam Malima, amezitaka Halmashauri zote mkoani humo kupunguza vikao visivyo vya lazima na badala yake kuongeza nguvu katika kupeleka elimu ya kujikinga na VVU kwa jamii kwani kasi ya maambukizi ni kubwa katika mkoa huo.