Rais wa Peru afutwa kazi na Bunge

Wabunge wa Peru wamemuapisha mkuu wa bunge Jose Jeri kuwa rais mpya wa nchi hiyo chini ya saa moja baada ya kupiga kura kwa kauli moja kumuondoa Rais Dina Boluarte, mmoja wa viongozi wasiojulikana sana duniani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS