RC Mzee awaonywa wakandarasi mkoani Mara
Mkuu wa Mkoa wa Mara Meneja Jenerali Suleiman Mzee amewaonya wakandarasi na wasimamizi wa miradi kushindwa kukamilisha miradi kwa wakati kwa kisingizio cha ugonjwa wa Uviko-19 jambo ambalo linapelekea miradi mingi kushindwa kukamilika kwa wakati