Mikopo 'umiza' kilio kwa wajasiriamali Mwanne Mohamed, mama n’tilie Wafanyabiashara wa maeneo mbalimbali nchini wameiangukia serikali, wakiomba kufikiwa na mikopo ya Halmashauri ili waachane na mikopo umiza ambayo imekuwa ikiua biashara zao. Read more about Mikopo 'umiza' kilio kwa wajasiriamali