Ushuru wa bidhaa za Tanzania kuondolewa Uingereza

Balozi wa Uingereza Tanzania Bwana David Concar pamoja na Mwakilishi maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza kwenye masuala ya Biashara Tanzania Lord Walney.

Mwanzoni mwa Mwaka 2023  serikali ya Uingereza imetangaza ku-wa na mpango maalum kwa kuondoa ushuru kwenye bidhaa zinazotoka Tanzania ili kuongeza ushindani kwa masoko ya bidhaa hizo nchini Uingereza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS