Ajali yaua Singida, chanzo chatajwa

Moja ya gari lililopata ajali

Watu watatu wamefariki dunia baada ya kupata ajali katika Kijiji cha Kitopeni Halmashauri ya Itigi wilayani Manyoni mkoani Singida, huku mmoja akipatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa ya Mtakatifu Gaspar Itigi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS