Waliopanda Mlima kilimanjaro wapongezwa

Wananchi waliopanda Mlima Kilimanjaro

Waziri wa Maliasili Balozi Dkt. Pindi Chana, amewapongeza viongozi na wananchi walioshiriki kupanda Mlima Kilimanjaro wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Profesa Eliamani Sedoyoeka, wakati wa maadhimisho ya  miaka 61 ya Uhuru tarehe 9 Desemba, 2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS