Wamuua bodaboda na kunyofoa viungo vyake

Watatu wanaotuhumiwa kumuua bodaboda

Watatu wakazi wa Kiteto mkoani Manyara akiwemo mwalimu wa sekondari Lesoiti, wamefikishwa katika Mahakama ya wilaya ya Kiteto, kwa tuhuma za kumuua dereva bodaboda na kunyofoa baadhi ya viungo vyake kwa imani za kishirikina.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS