Morogoro yashika namba tano vifo vya mama na mtoto

Mganga mkuu mkoa wa Morogoro Kusirye Ukyo amesema  mkoa huo umeweka malengo ya kupunguza vifo vya mama na mtoto kwa asilimia hamsini huku akieleza kuwa mkoa huo  unashika nafasi ya tano kwa vifo hivyo nchini 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS