Wanafunzi watumia miti chooni Tabora

Picha ya vyoo

Wanafunzi wa shule ya msingi Tulieni iliyo katika kijiji cha Tulieni kata ya Ndono wilaya ya  Uyui mkoani Tabora wamekuwa wakilazimika kutumia karatasi ngumu na miti kujisafisha chooni kutokana na kukosekana kwa maji hivyo kuiomba serikali kuharakisha maboresho ya miundombinu shuleni hapo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS