"Halmashauri msisubiri serikali kuu" - Waziri Mkuu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amezitaka Halmashauri nchini kutumia fedha za makusanyo ya ndani katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo badala ya kusubiri fedha kutoka serikali kuu pekee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS