Mama lishe walikimbia soko la Kisutu

Uongozi wa soko la baba na mama lishe Kisutu jijini Dar Es Salaam wamesema serikali iwashughulikie kundi la mama lishe na baba lishe ambao wanaondoka sokoni hapo na kurejea mitaani kwa kigezo cha kushindwa kulipa ushuru wa shilingi mia tano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS