TFF yataka ligi za wilaya kuhusisha zaidi vijana

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limevitaka vyama vya soka nchini vinavyosimamia ligi za Wilaya na Mikoa kuwatumia zaidi wachezaji vijana wenye umri chini ya miaka ishirini (U20) ili kusaidia kuibua , kuvitengeza, kuvikuza na kuviendeleza vipaji vya vijana wengi nchini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS