TFF yataka ligi za wilaya kuhusisha zaidi vijana
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limevitaka vyama vya soka nchini vinavyosimamia ligi za Wilaya na Mikoa kuwatumia zaidi wachezaji vijana wenye umri chini ya miaka ishirini (U20) ili kusaidia kuibua , kuvitengeza, kuvikuza na kuviendeleza vipaji vya vijana wengi nchini