Serikali yategua kitendawili aliyefungua mlango Ndege ya Precision Air ilivyopata ajali Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, amesema kwamba mlango wa ndege iliyopata ajali Novemba 6, 2022, Bukoba mkoani Kagera ulifunguliwa na mhudumu wa ndege kwa kushirikiana na abiria. Read more about Serikali yategua kitendawili aliyefungua mlango