Serikali yategua kitendawili aliyefungua mlango

Ndege ya Precision Air ilivyopata ajali

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, amesema kwamba mlango wa ndege iliyopata ajali Novemba 6, 2022, Bukoba mkoani Kagera ulifunguliwa na mhudumu wa ndege kwa kushirikiana na abiria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS