Wafanyabishara zaidi ya 1000 kuondolewa sokoni

Wafanyabiashara wa tikiti

Zaidi ya wafanyabiashara 1000 wa matunda aina ya tikiti maji katika soko la Tazara Veternary jijini Dar es Salaam wamepewa muda wa hadi Januari mwakani 2023 kuondoka katika eneo hilo ili kupisha uendelezaji na uwekezaji kwa mmiliki husika wa eneo hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS