Bweni la wanafunzi lashika moto, watatu wafariki

Wanafunzi watatu wa shule ya msingi Buhangija na kituo cha elimu maalumu Buhangija Manispaa ya Shinyanga wamepoteza maisha, baada ya bweni la wasichana walilokuwa wamelala kuungua moto usiku wa kuamkia leo  huku wengine wakinusurika baada ya kuokolewa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS