RC wa zamani wa Arusha ashinda uenyekiti wa CCM Idd Hassan Kimanta, Mwenyekiti mpya wa CCM mkoa wa Katavi Idd Hassan Kimanta aliyewahi kushika nyafidha mbalimbali ikiwemo kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha ametangazwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Katavi. Read more about RC wa zamani wa Arusha ashinda uenyekiti wa CCM