RC wa zamani wa Arusha ashinda uenyekiti wa CCM

Idd Hassan Kimanta, Mwenyekiti mpya wa CCM mkoa wa Katavi

Idd Hassan Kimanta aliyewahi kushika nyafidha mbalimbali ikiwemo kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha ametangazwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Katavi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS