msanii maarufu wa muziki wa Jazz nchini Uganda Isaiah Katumwa
Msanii wa muziki wa miondoko ya Jazz nchini Uganda, Isaiah Katumwa anatarajia kusherehekea maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanza kwake muziki huko Jijini Kampala, tukio litakalofanyika terehe 8 mwezi Mei mwaka huu.