Mfanyabiashara akutwa amefariki Jijini Arusha

Kamanda wa jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas

WATU wawili wamefariki dunia, akiwemo mfanyabiashara mmoja maarufuc jijini Arusha, aliyefia kwenya Klabu ya wafanyakazi wa benki Kuu ,BOT, tawi la Arusha, na mwingine ambae hajafahamika, aliokotwa akiwa amesokomezwa mtaroni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS