Hatutafumbia Macho mauaji ya Albino-Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa Serikali haitafumbia macho suala la mauaji ya walemavu wa ngozi kama hali ilivyokuwa kwa miaka ya nyuma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS