Kapteni Komba kuagwa kesho Dar Mwili wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi na Mkurugenzi wa kundi la uhamasishaji chama cha CCM LA Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni Mstaafu John Komba unatarajiwa kuagwa kesho katika viwanja vya Karimjee. Read more about Kapteni Komba kuagwa kesho Dar