Kapteni Komba kuagwa kesho Dar

Mwili wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi na Mkurugenzi wa kundi la uhamasishaji chama cha CCM LA Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni Mstaafu John Komba unatarajiwa kuagwa kesho katika viwanja vya Karimjee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS