Baadhi ya wachezaji wanaounda kikosi cha Azam wakiwa nchini Sudani wakijiandaa na mchezo wao Jumamosi
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania (TFF), limezitakia kila la kheri na ushindi timu za Azam na Young Africans katika michezo yao ya marudiano itakayofanyika mwishoni mwa wiki hii .