TFF yazitakia heri Yanga na Azam kimataifa

Baadhi ya wachezaji wanaounda kikosi cha Azam wakiwa nchini Sudani wakijiandaa na mchezo wao Jumamosi

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania (TFF), limezitakia kila la kheri na ushindi timu za Azam na Young Africans katika michezo yao ya marudiano itakayofanyika mwishoni mwa wiki hii .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS