Wasanii wapinga mauaji ya albino
Wasanii wa muziki wa Bongofleva wameendelea kutumia nafasi zao kupaza sauti kukemea vitendo vya ukatili dhidi ya walemavu wa ngozi Albino, kwa kushiriki katika projekti mbalimbali ikiwepo kutengeneza rekodi zenye ujumbe dhidi ya ukatili huo.