
msanii wa bongofleva nchini Cassim Mganga
Katika wakati huu ambapo pia jamii ipo katika sintofahamu kwa kuonekana kuendelea kwa unyama huu, eNewz imeongea na Cassim Mganga ambaye ameshiriki katika kampeni ya 'Imetosha' kujaribu kutumia nguvu yake ya ushawishi kukemea na pia kuunganisha nguvu za mapambano dhidi ya hili.
