UAE yafungua Ubalozi Zanzibar
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax amepongeza uamuzi wa Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wa kufungua Konseli Kuu (Ubalozi Mdogo) Visiwani Zanzibar na kutoa wito kwa Wananchi kutumia uwepo wa Konseli hiyo biashara.