Denmark kuendelea kushirikiana na Tanzania

Balozi wa Denmark nchini Tanzania Mette Norgaard Dissing-Spandet

Balozi wa Denmark nchini Tanzania Mette Norgaard Dissing-Spandet, amesema nchi yake itaendelea kushirikiana na serikali sambamba na mashirika ya kijamii  katika utoaji wa elimu ya afya ya uzazi kwa vijana na stadi za maisha ambazo zitawasaidia kujiendeleza kiuchumi kwa kujiajiri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS