Taarifa ya awali ya ajali ya ndege yatolewa

Ndege iliyopata ajali

Baraza la Mawaziri la serikali ya Tanzania limepokea taarifa ya awali ya ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Novemba 6, 2022, Bukoba mkoani Kagera na kugharimu maisha ya watu 19.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS