Wasiofanya mitihani kusakwa
Mkuu wa Wilaya ya Nyang'hwale Jamhuri William ameagiza kusakwa kwa wanafunzi zaidi ya 190 ambao hawakufanya mitihani ya Taifa ya kidato cha pili kwa sababu mbalimbali ikiwepo, mimba na kuozeshwa ili waweze kuendelea na masomo.