Mr T Touchez hajali nyodo za wasanii

Ney Wa Mitego na Mr T Touchez

Mtayarishaji muziki anayefanya vizuri katika sanaa ya muziki wa kizazi kipya Tanzania, Mr T Touchez amezungumzia suala zima la dharau kwa baadhi ya wasanii katika gemu ya muziki na kusema kuwa tabia hii ipo sana ingawa kwa yeye binafsi haimuathiri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS