JOHN EMANUEL
Nimezaliwa mwaka 1991 wilaya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 1 katika katika familia ya watoto 3
Ninaishi TEGETA KWA NDEVU na MTAA WA SANGARANZA
Mtaani kwangu najulikana kwa DANCE
Mimi nimesoma mpaka KIDATO CHA 2
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: BAJAJI