JOHN EMANUEL

Nimezaliwa mwaka 1991 wilaya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM 

Mimi ni mtoto wa 1 katika katika familia ya watoto 3

Ninaishi TEGETA KWA NDEVU na MTAA WA SANGARANZA

Mtaani kwangu najulikana kwa DANCE 

Mimi nimesoma mpaka KIDATO CHA 2

Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: BAJAJI

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS