Lori lagongana na Arusha Express 6 wafariki

Basi la abiria lililopata ajali

Watu sita wamefariki dunia hii leo Novemba 13, 2022, na wengine 22 kujeruhiwa jijini Dodoma kufuatia ajali iliyohusisha basi la Arusha Express na Lori la mchanga katika eneo la Mzakwe jijini humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS