JNIA - Terminal Three kukamilika Oktoba mwakani

Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi nchini Tanzania Dkt Shaaban Mwinjaka.

Serikali ya Tanzania imesema upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam ambao utajulikana kama terminal three, utakamilika na kuanza kutumika mwezi Oktoba mwakani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS